Sawa

jay melody

Mapenzi tu
Nimepagawa hamjui
Ye kila mara ananifanya silali
Namwaza yeye tu
Anayeweka roho yangu juu
Ana utoto tu
Sema uzuri ananipaga asali
Mi nailamba tu
 
Na penzi letu ni kama sunna
Na ulinzi kama suma
Hata akinuna
Bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna
Msinionee huruma
Cha mtu huliwa na mtu
Kutu yake chuma
 
Basi mwambieni nampenda
Sawa, sawa, sawa
Ah mwambie mi nampenda
Yes (sawa), right (sawa), sawa
 
Huo utamu hasa nikiingia
Akifungua gate naingia
Akipanua neti naingia
Na wala sikwepeshi naingia
Sina akili ya kuchange idea
Hapo hapo nimemng’ang’ania
Hapo hapo nimeshikilia
Na visokorokwinyo mtaumia, naahaa
 
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
 
Na penzi letu ni kama sunna
Na ulinzi kama suma
Hata akinuna
Bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna
Msinionee huruma
Cha mtu huliwa na mtu
Kutu yake chuma
 
Basi mwambieni nampenda
Sawa, sawa, sawa
Ah mwambie mi nampenda
Yes (sawa), right (sawa), sawa

Wissenswertes über das Lied Sawa von Jay Melody

Wer hat das Lied “Sawa” von Jay Melody komponiert?
Das Lied “Sawa” von Jay Melody wurde von jay melody komponiert.

Andere Künstler von Pop